Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Omar Yussuf Mzee akizungumza na Waandishi wa habari kuhusiana na makubaliyano yaliyotiwa saini baina ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar na Serekali ya China hivi karibuni, mkutano huo umefanyika katika Wizara ya Fedha Vuga.
Sehemu ya Waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Omar Yussuf Mzee akizungumzia makubaliyano yalitiwa saini baina ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar na Serekali ya China hivi karibuni,
0 comments:
Post a Comment