Home » » BANDARI YA ZANZIBAR KWA SASA NA UTARATIBU WA KIDIGITALI NA KIMATAIFA

BANDARI YA ZANZIBAR KWA SASA NA UTARATIBU WA KIDIGITALI NA KIMATAIFA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Baadhi ya abiria wakiwasili na kuondoka kwenye Bandari ya mji wa Zanzibar, ambapo kwa sasa baada ya kukarabatiwa na kujengwa upya kumekuwa na utaratibu mzuri kwa abiria wanaoondoka na kuwasili kwenye bandari hiyo na pia masuala ya usalama yameimarishwa na kwa upande wa wageni ambao si raia huelekezwa kupita njia yao ili kufuata taratibu za ukaguzi na vibari husika. HONGERA BAKHRESA
 Sehemu ya daraja la kuegesha Meli za Azam ikiwa katika muonekano mpya....
Hii ndiyo picha na Taswira ya mji wa Zanziba ikikupokea wakati ukianza kutia Nanga katika Bandari hiyo.
Picha na Sufiani Mafoto Blog

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa