Home » » Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Akutana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Akutana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi wa India
nchini Tanzania Debnath Shaw alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.
 Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw
alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.
 Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu-Zanzibar

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa