Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) akijumuika na Viongozi katika futari aliyowaandalia
wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja jana katika viwanja vya Ikulu
Mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) akijumuika na Viongozi katika futari aliyowaandalia
wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja jana katika viwanja vya Ikulu
Mjini Zanzibar.
Mke
wa Rais wa zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) akijumuika na wake
wa Viongozi mbali mbali akiwemo Mke wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Mama
Shadya Karume (wa pili kushoto) katika futari iliyoandaliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
kwa wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja jana katika viwanja vya
Ikulu Mjini Zanzibar.
Akina
mama wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakiwa katika futari
iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Wananchi
wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakijumuika katika futari
iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment