Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud
Mohmamed akitoa hotuba ya ufunguzi wa Tamasha la Mzanzibari kwa niaba ya
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi
Michenzani Mjini Unguja leo,Picha na Ikulu.
0 comments:
Post a Comment