Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa
pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mhariri Mkuu wa Gazeti la
Zanzibar leo Nd,Ramadhan Makame (kushoto) wakati alipofanya ziara ya
ghafla katika Idara hiyo iliyopo katika jengo la Studio ya Redio
Zanzibar Rahaleo Mjini Unguja,(wa kulia) katibu Mkuu wa Wizara ya
Habar,Utalii,Utamaduni na Michezo,{Picha na Ikulu} 19/09/2016.
Home »
» RAIS DK.SHEIN ALIPOTEMBELA OFISI YA GAZETI LA ZANZIBAR LEO
RAIS DK.SHEIN ALIPOTEMBELA OFISI YA GAZETI LA ZANZIBAR LEO
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa
pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mhariri Mkuu wa Gazeti la
Zanzibar leo Nd,Ramadhan Makame (kushoto) wakati alipofanya ziara ya
ghafla katika Idara hiyo iliyopo katika jengo la Studio ya Redio
Zanzibar Rahaleo Mjini Unguja,(wa kulia) katibu Mkuu wa Wizara ya
Habar,Utalii,Utamaduni na Michezo,{Picha na Ikulu} 19/09/2016.
0 comments:
Post a Comment