Home » » RAIS WA ZANZIBAR DR SHEIN ATOA MAELEKEZO KWA UONGOZI WA WIZARA YA KAZI,UWEZESHAJI,WAZEE,VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO

RAIS WA ZANZIBAR DR SHEIN ATOA MAELEKEZO KWA UONGOZI WA WIZARA YA KAZI,UWEZESHAJI,WAZEE,VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa maelekezo kwa   Uongozi wa Wizara ya Wizara ya  Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto,  (haupo pichani ) kuhusu  utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM katika  kipindi cha mwaka 2015-2020,leo wakati wa mkutano wa siku moja uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 07/09/2016.
 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya  Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto kuhusu  Programu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM katika  kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 07/09/2016.

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa