Home » » MH. MAKAMBA AFIKA ZANZIBAR KWA ZIARA

MH. MAKAMBA AFIKA ZANZIBAR KWA ZIARA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 



Waziri wa Nchi Ofisi  ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira Mh. January Makamba amewataka Wananchi wa Zanzibar  kuulinda na kuuheshimu Muungano pamoja na mapinduzi tukufu ya Zanzibar. Ameyasema hayo alipokua ziarani Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Aliongeza kuwa anaipongeza Serikali ya Mkoa kwa juhudi wanazozifanya kuhakikisha  wanasimamia usalama kwa raia wote . Akiwasilisha  taarifa kwa Mh Waziri, Katibu tawala wa Mkoa wa Kasazini Pemba Mohamed Ali alitaja changamoto zinazowakabili ni uchakavu wa jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  hivyo kuomba Waziri awsaidie.
 Waziri wa Nchi Ofisi  ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira Mh. January Makamba yupo katika ziara mkoani Kaskazini Pemba pamoja na Unguja.
 

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa