Home » » RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK.HUSSEIN ALI MWINYI AMEJUMUKA NA WANAFAMILIA NA WANANCHI KATIKA MAZIKO YA MAREHEME ZULEKHA AHMED ABDALLAH

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK.HUSSEIN ALI MWINYI AMEJUMUKA NA WANAFAMILIA NA WANANCHI KATIKA MAZIKO YA MAREHEME ZULEKHA AHMED ABDALLAH

 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussei Ali Mwinyi  akijumuika na Viongozi wa Serikali, Dini na Wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mke wa Marehemu Sheikh.Hyder Jabir Saleh E-Farsy,Marehemu Zulekha Ahmed Abdallah,yaliyofanyika katika viwanja vya Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar .(Picha na Ikulu).
 

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa