Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa
Kampuni ya Simu za Mkononi Zantel hapa Zanzibar CEO Ali Bin
Jarsh,wakibonyeza kitufe ikiwa ni uzinduzi wa kifaa cha mtandao mpya
wa Zantel -3G,katika Ukumbi wa Zanzibar Beash Resort leo.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa
Kampuni ya Simu za Mkononi Zantel hapa Zanzibar CEO Ali Bin
Jarsh,wakibonyeza kitufe ikiwa ni uzinduzi wa kifaa cha mtandao mpya
wa Zantel -3G,katika Ukumbi wa Zanzibar Beash Resort leo.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Viongozi na wadau mbali mbali wa kampuni ya
Simu za Mkononi Zanztel wakiwa katika uzinduzi wa Kifaa kipya cha
Mtandao wa Zanzite -3G ,uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika Ukumbi wa Zanzibar
Beash Resort leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Simu za Mkononi Zanztel wakiwa katika uzinduzi wa Kifaa kipya cha
Mtandao wa Zanzite -3G ,uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika Ukumbi wa Zanzibar
Beash Resort leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya
Simu za Mkononi Zantel hapa Zanzibar CEO Ali Bin Jarsh,baada ya
kuzindua kifaa cha mtandao mpya wa Zanztel-3G katika ukumbi wa
Zanzibar Bech Resort leo.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya
Simu za Mkononi Zantel hapa Zanzibar CEO Ali Bin Jarsh,baada ya
kuzindua kifaa cha mtandao mpya wa Zanztel-3G katika ukumbi wa
Zanzibar Bech Resort leo.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
0 comments:
Post a Comment