Home » » DK.SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA MAREKANI IKULU ZANZIBAR

DK.SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA MAREKANI IKULU ZANZIBAR



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Seneta wa Marekani Christopher Coons,akiwa na Ujumbe aliofuatana nao walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana,kuzungumza na Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Seneta wa Marekani Christopher Coons,akiwa na Ujumbe aliofuatana nao walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Seneta wa Marekani Christopher Coons,akiwa na Ujumbe aliofuatana nao walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa