Home » » WAZIRI WA HABARI UTAMADUNI UTALII NA MICHEZO WA ZANZIBAR AKUTANA NA WANAFUNZI NA WALIMU WACHUO CHA UANDISHI WA HABARI ZANZIBAR

WAZIRI WA HABARI UTAMADUNI UTALII NA MICHEZO WA ZANZIBAR AKUTANA NA WANAFUNZI NA WALIMU WACHUO CHA UANDISHI WA HABARI ZANZIBAR

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Kaimu Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar (ZJMMC) Rashid Omar akimkaribisha Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk katika mkutano na Wanafunzi wa chuo hicho ngazi ya Diploma na Sataficate katika Ukumbi wa Sanaa rahaleo studio Zanzibar.
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari (ZJMMC)wakimsikiliza Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk hayupo pichani wakati akitoahotuba kwa wanafunzi haokatika Ukumbi wa Sanaa rahaleo studio Zanzibar.
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akiwahutubia Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari (ZJMMC) katika ukumbi wa Sanaa rahaleo studio Zanzibar.
Mwanafunzi Mwajuma Ali Kombo wa chuo cha Uandishi wa Habari (ZJMMC)akiuliza maswali kwa Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk alipokutana na Wanafunzi hao na kuwataka kuelezea matatizo yao katika Ukumbi wa Sanaa rahaleo studio Zanzibar.
Mwanafunzi Mwita Abdalla wa chuo cha Uandishi wa Habari (ZJMMC)akiuliza maswali kwa Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk alipokutana na Wanafunzi hao na kuwataka kuelezea matatizo yao katika Ukumbi wa Sanaa rahaleo studio Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI -MAELEZO ZANZIBAR

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa