Home
skip to main
|
skip to sidebar
Home
» » Uchaguzi wa Mbunge wa jimbo la Kijitoupele,Zanzibar kufanyika Machi 20
Uchaguzi wa Mbunge wa jimbo la Kijitoupele,Zanzibar kufanyika Machi 20
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Jaji Lubuva
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuutaarifu Umma wa Watanzania kuwa Uchaguzi wa Ubunge katika Jimbo la Kijitoupele – Zanzibar utafanyika mnamo tarehe 20 Machi, 2016.
Uchaguzi wa Mbunge katika Jimbo la Kijitoupele – Zanzibar ni mojawapo ya Majimbo yaliyoahirisha kufanya Uchaguzi tarehe 25 Oktoba, 2015 kutokana na hitilafu kwenye Karatasi za Kura.
Aidha, Tume inapenda kuwataarifu Wananchi kuwa Watendaji (Msimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi) walioteuliwa kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa 2015 ndio watakaosimamia na kufanya shughuli za Uchaguzi huo. Uchaguzi huo wa Ubunge katika Jimbo la Kijitoupele hautakuwa na kampeni na Wagombea walioteuliwa kushiriki Uchaguzi ulioahirishwa mwezi Oktoba, 2015 ndio watakaoshiriki Uchaguzi huu.
Vituo vilivyotumika katika Uchaguzi wa mwaka 2015 ndiyo vitakavyotumika. Vituo vitafunguliwa saa 1.00 asubuhi na kufungwa saa 10.00 jioni. Watakaoruhusiwa Kupiga Kura tarehe 20/3/2016 ni wale ambao wameandikishwa na majina yao yapo katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura la Kituo na waje na Kadi ya Mpiga Kura.
Imetolewa na,
Jaji (Mst.) Damian Z. Lubuva
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
MWENYEKITI
26/01/2016
0 comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Web Toolbar by Wibiya
Please Share this Blog
Listen to Tone Radio-Tz
Tembelea Website yetu
www.toneradiotz.com
Powered by
Blogger
.
Popular Posts
MH LOWASSA AMTEMBELEA SUKWA SAID SUKWA
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akipigapicha ya pamoja na familia ya Katibu wa Zamani wa Umoja wa Vijana wa CCM, Sukwa Said ...
WANAFUNZI 686 WA CHUO KIKUU CHA ELIMU CHA KUMBU KUMBU YA DR. ABDULRAHMAN AL – SUMAIT WATUNUKIWA VYETI VYAO LEO ZANZIBAR
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Makamu wa Pi...
KAMISHENI YA KUKABILIANA NA MAAFA ZANZIBAR YAVUTIWA NA URATIBU WA AFYA MOJA TANZANIA BARA
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mratibu ma...
BALOZI SEIF AFUNGUA KINGAMANO LA VIJANA WA CCM WA VYUO VIKUU KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 39 YA KUZALIWA KWA CCM
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mj...
DKT. JAFO AAHIDI USHIRIKIANO KWA WAFANYABIASHARA
WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo (Mb) ameihakikishia sekta binafsi hususani Wafanyabiashara na Wawekezaj...
SIRI KUFUNJIKA MAZUNGUMZO YA MWAFAKA.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. ...
Rais Shein Ahudhuria Chakula cha Mchana na Vijana wa Halaiki
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. RAIS wa Za...
NYUMBA 150 ‘DUBAI’ YA AFRIKA ZAKAMILISHWA
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Imeandikwa na Mw...
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AREJEA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YA WIKI TATU NCHI ZA ISRAEL,CUBA NA UAE
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi Akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi yake Said Shaabani mara baada ya kuwasil...
JITOKEZENI USAJILI WA ARDHI
WANANCHI wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika usajili wa ardhi ambao utawafanya kuwa na umiliki halali na kuepuka migogoro inayojitokeza ...
Blog Archive
Blog Archive
July (8)
April (1)
March (1)
February (1)
January (6)
December (2)
November (8)
October (4)
September (13)
August (61)
July (21)
June (2)
May (10)
April (4)
March (6)
February (6)
January (12)
December (22)
November (10)
October (13)
September (18)
August (7)
July (4)
June (24)
May (13)
April (11)
March (19)
February (28)
January (35)
December (8)
November (4)
October (17)
September (12)
August (17)
July (6)
June (16)
May (12)
April (6)
March (4)
February (8)
January (19)
December (19)
November (14)
October (17)
September (5)
August (18)
July (17)
June (23)
May (24)
April (27)
March (25)
February (40)
January (65)
December (32)
November (42)
October (11)
September (20)
August (10)
July (13)
June (9)
May (10)
April (5)
March (8)
February (11)
January (27)
December (27)
November (28)
October (52)
September (57)
August (43)
July (37)
June (23)
May (29)
April (42)
March (25)
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012.
Zanzibar Yetu
- All Rights Reserved
Designed by by
Blogs za Miikoa
Proudly powered by
Blogs za Mikoa
0 comments:
Post a Comment