Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi Akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi yake Said Shaabani mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.kutoka Ziara ya wiki Tatu za nchi za Israil,Cuba na UAE.
Makamu wa PIli wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali IDI akisalimiana na Mtoto wake Mdogo mara baada ya Kuwasili kutoka katika ziara ya Nchi za Izrail,Cuba na UAE.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akijibu hoja mbalimbali za waandishi wa Habari waliofanya mahojiano nao mara baada ya Kuwasili kutoka katika ziara ya Nchi za Izrail,Cuba na UAE.PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI ALI-HABARI MAELEZO ZANZIBAR.
0 comments:
Post a Comment