Home » » Jengo la Ofisi ya Manispaa Zanzibar Lakamilika Ujenzi wa Ukarabati Wake.

Jengo la Ofisi ya Manispaa Zanzibar Lakamilika Ujenzi wa Ukarabati Wake.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Jengo la Afisi ya Baraza la Manisppa Zanzibar likiwa katika hali nzuri baada ya kufasnyiwa ukarabati mkubwa wa jengo hilo lilioko katika Mji Mkongwe wa Zanzibar na tayari limeaza kutowa huduma zake baada ya ujenzi wake kama linavyoonekana pichani leo asubuhi likiwa katika harakati hizo.


0 comments:

Post a Comment

 
Support by Tone multimedia company Limited
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa