Kontena
lenye urefu wa futi 40 lililojaa pembe za ndovu limekamatwa kisiwani
Unguja mchana huu likitokea bandari ya Dar es Salaam
Mpaka sasa haijajulikana mzigo huo una thamani ya kiasi gani na raia wawili wa Tanzania wamekamatwa kuisaidia polisi
Kwa mujibu wa Waziri Kagasheki, kontena hilo pia linahisiwa kumilikiwa na raia wa China
Mpaka sasa haijajulikana mzigo huo una thamani ya kiasi gani na raia wawili wa Tanzania wamekamatwa kuisaidia polisi
Kwa mujibu wa Waziri Kagasheki, kontena hilo pia linahisiwa kumilikiwa na raia wa China
Chanzo: East Africa Radio

0 comments:
Post a Comment