Home » » JUMUIYA YA MARADHI YASIOAMBUKIZA (ZNCDA) YAZINDULIWA RASMIN ZANZIBAR.

JUMUIYA YA MARADHI YASIOAMBUKIZA (ZNCDA) YAZINDULIWA RASMIN ZANZIBAR.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

  Kaimu Katibu wa Jumuiya ya Maradhi yasioambukiza Zanzibar (ZNCDA) akitoa maelezo ya Jumuiya yao katika uzinduzi wa Jumuiya hiyo uliofanyika viwanja vya Kibanda maiti Mjini Zanzibar leo Machi 01-2014.
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya maradhi yasiyoambukiza Nchini Denmack(NCD) Bibi. Susanne Volqvartz ambao ni wafadhili wa (ZNCDA) akitoa salamu ya Jumuiya yake  katika sherehe ya uzinduzi wa  Jumuiya ya Maradhi yasioambukiza Zanzibar ulifanyika viwanja vya Kibanda maiti Mjini Zanzibar.
  Mgeni rasmin Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Muhammed Dahoma akizindua Jumuiya ya Maradhi yasioambukiza Zanzibar (ZNCDA) katika sherehe zilizofanyika viwanja vya Kibanda maiti Mjini Zanzibar.
Picha No. 1515- Mgeni rasmin wakati mwenye bahasha katika picha ya pamoja ya viongozi wa (ZNCDA) na wafadhi wao kutoka Denmak.
(PICHA NA MAKAME MSHENGA WA MAELEZO-ZANZIBAR).

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa