Home » » BALOZI MDOGO WA INDIA NA MWAKILISHI WA (WHO) WAMUAGA RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN

BALOZI MDOGO WA INDIA NA MWAKILISHI WA (WHO) WAMUAGA RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) anefanyia kazi Zanzibar Dk.Pierre Kahozi,leo alifika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga  Rais baada ya kumaliza muda wake wa Kazi.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mdogo wa India anefanyika kazi Zanzibar Pawan Kumar,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi kumuaga  Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi. 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na Balozi Mdogo wa India anefanyika kazi Zanzibar Pawan Kumar,baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi kumuaga  Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi. Picha na Ramadhan Othman IKulu.

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa