Home » » BREAKING NEWS JESHI LA WANAMAJI LAKAMATA RAIA WA KIGENI 12 WAKIWA NA SHEHENA YA MADAWA YA KULEVYA

BREAKING NEWS JESHI LA WANAMAJI LAKAMATA RAIA WA KIGENI 12 WAKIWA NA SHEHENA YA MADAWA YA KULEVYA


Habari zilizoufikia mtandao huu hivi punde zinasema kuwa Jeshi la Wanamaji, limefanikiwa kuwanasa Raia wa kigeni 12 kutoka Pakstan na Iran, wakiwa na shehena ya madawa ya kulevya wakisafirishwa kwa Jahazi kuelekea Zanzibar.

Watu hao wamekamatwa eneo la Bahari ya Indi wakiwa ndani ya Jahazi hilo ambapo hawakuwa na raia hata mmoja ambaye ni mtanzania huku ikielezwa kuwa mzigo huo ni shehena kubwa huenda kuzidi zote zilizokwisha wahi kukamatwa.

Kaa nasi habari zitawafiki kadri zitakavyozidi kutufikia.
 
CHANZO: SUFIANI MAPHOTO BLOG

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Blogs za Mikoa Tanzania
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Blogs za Miikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa