Home » » DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI,MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI.

DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI,MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiongozaa kikao cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017,   cha Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji  kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja.
 Wakurugenzi wa Idara zilizokatika Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji  wakiwa kikao cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017, kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja.
 Waziri wa  Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Mhe. Balozi Ali Abeid Karume (katikati) alipowasilisha Muhtasari wa  Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017, wakati wa kikao cha siku moja cha  Uongozi wa Wizara hiyo kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wengine ni  Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa BLM Nd,Salum Maulid Salum(kulia) na Naibu wa Wizara hiyo Mhe.Mohamed Ahmed Salum
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Zanzibar Bi.Riziki Jecha Salim (kulia) alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu Idara yake wakati wa kikao cha siku moja  Uongozi wa Wizara hiyo cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017,kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
Katibu Mkuu wa  Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa BLM,pia Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi  Nd,Salum Maulid Salum (wa pili kulia) alipokuwa akichangia wakati wa  kikao cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017,   cha Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji  kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia),akiwepo na Waziri Balozi Ali Abeid Karume na Naibu wake Mohamed Ahmed Salum (kushoto).(Picha na Ikulu).

0 comments:

Post a Comment

 
Support by Tone multimedia company Limited
Copyright © 2012. Zanzibar Yetu - All Rights Reserved
Designed by by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa