Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Mkurugenzi Shirika la Simu Tanzania TTCL, Dkt.
Kamugisha Kazaura, wakati alipowasili Wilayani Chakechake Mkoa wa Kusini
Pemba Julai 3, 2015 kwa ajili ya Kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa
Jengo jipya la Ofisi za shirika hilo. Katikati ni Waziri wa Mawasiliano,
Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Simu Tanzania,
TTCL, wakati alipowasili kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa
Jengo jipya la Ofisi za Shirika hilo Wilayani Chakechake Mkoa wa
Kusini Pemba.
akamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa
Jengo jipya la Ofisi ya TTCL, Wilayani Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,
Julai 3, 2015. (Picha na OMR).
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa,akizungumza.
Mkurugenzi Shirika la Simu Tanzania TTCL, Dkt. Kamugisha Kazaura, akizungumza.
Baadhi ya wawakilishi wa makampuni na Mashirika waliohudhuria hafla hiyo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa, kwa
pamoja wakifunua kitambaa kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa
Jengo jipya la Ofisi ya TTCL, wakati wa hafla fupi iliyofanyika Julai
3,2015 Wilayani Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipata maelezo kuhusu ramani ya Jengo hilo la TTCL, kutoka kwa
Mkurugenzi wa Kampuni ya Ujenzi ya ‘Quality Buildin Contractors Ltd’,
Khamis Ally Shaibu, wakati wa hafla fupi ya uwekaji wa Jiwe la Msingi
katika Jengo jipya la Ofisi ya TTCL, iliyofanyika Julai 3, 2015
Wilayani Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba. Kulia kwa Makamu ni Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi na Wafanyakazi wa
TTCL, baada ya hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Jengo
jipya la Ofisi ya Shirika la Simu Tanzania TTCL, iliyofanyika Julai 3,
2015 Wilayani Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba.
(Picha na OMR).
0 comments:
Post a Comment